WELCOME NOTE

WELCOME NOTE

PICHA

PICHA

TANGAZO

Monday, September 3, 2012

UJUZI WA SOMO LA VIELELEZO NA TEKNOLOJIA


Baad a ya kumaliza mafunzo ya miaka miwili, mwanachuo aweze kuwa na ujuzi wa:
a)  Kutambua mbinu mbalimbali na kuzitumia katika  kufaragua na kutengeneza
vielelezo na teknolojia vya kufundishia na kujifu nzia.
b)  Kuhifadhi vielelezo na teknolojia mbalimbali za kufundishia na kujifunzia.
c)  Kubuni aina mbalimbali za  vielelezo na teknolojia kwa kutumia
malighafi/makunzi inayopatikana katika mazingira anamoishi na kwa gharama
nafuu.
d)  Kutambua aina mbalimbali za vielelezo na teknolojia zinazoweza
kutengenezwa na kutumika katika kufundishia na  kujifunzia.
e)  Kujenga tabia ya kujiamini kwa ajili ya kufundisha na kujifunza kwa kutu mia
vielelezo na teknolojia.

No comments:

Post a Comment