Ni
jambo la busara kwa mwalimu kuvifanyia vielelezo majaribio kabla ya kuvitumia.
Hatua
hii humwezesha kufanya yafuatayo:-
a) Kuona kama
zana/ vifaa ni vizima au ni vibovu viweze kutengenezwa/ kununua/ kutafuta
vingine.
b) Kuhakikisha
kama zana/ vifaa hivyo vinafanya kazi kwa usahihi kama
vilivyokusudiwa
c) Kujiamini
katika kufundisha hatua anuai za somo lake na
kutumia vielelezo vyake
d) Kujua
uthabiti na udhaifu wa vielelezo vyenyewe
e) Kuhakikisha
kwamba havijaharibika, na kama vimeharibika
aweze kuandaa vingine kabla ya siku ya somo lenyewe
f) Kufahamu
madhara yanayoweza kuletwa na vielelezo hivyo mfano:- Tindikali n.k.
g) Kufahamu
namna ya kutumia vielelezo hivyo.
No comments:
Post a Comment