WELCOME NOTE

WELCOME NOTE

PICHA

PICHA

TANGAZO

Thursday, August 23, 2012

MALENGO YA SOMO LA VIELELEZO NA TEKNOLOJIA


Baada ya kujifunza somo la vielelezo na teknolojia mwanachuo anatakiwa  aweze:
a) Kukuza ubunifu wa kuandaa vielelezo na teknolojia maono,        masikizi na masikizi-maono.
b) Kutambua aina mbalimbali za vielelezo na teknolojia katika kubuni,kufaragu a, kutengeneza na kutumia kwa kufundishia na kujifunzia.
c)Kubainisha sifa za kuzingatia k atika utengenezaji wa vielelezo na teknolojia bora na fanisi.
d) Kubainisha aina za vielelezo na teknolojia bora na fanisi.
e) Kueleza njia mbalimbali za utunzaji na usalama wa vielelezo na teknolojia.
f)  Kutumia aina mbalimbali za utunzaji na usalama wa vielelezo na teknolojia.

1 comment: