Baada ya kujifunza somo la vielelezo na teknolojia
mwanachuo anatakiwa aweze:
a) Kukuza ubunifu wa
kuandaa vielelezo na teknolojia maono, masikizi na masikizi-maono.
b) Kutambua aina
mbalimbali za vielelezo na teknolojia katika kubuni,kufaragu a, kutengeneza na kutumia kwa kufundishia na
kujifunzia.
c)Kubainisha sifa za kuzingatia k atika utengenezaji wa
vielelezo na teknolojia bora na fanisi.
d) Kubainisha aina
za vielelezo na teknolojia bora na fanisi.
e) Kueleza njia
mbalimbali za utunzaji na usalama wa vielelezo na teknolojia.
f) Kutumia aina
mbalimbali za utunzaji na usalama wa vielelezo na teknolojia.